The Co-operative University of Kenya (CUK) is an outstanding institution of higher learning due to its observance of integrity in democratic leadership. This upholds and anchors the university’s mission of producing competent human capital through quality education, training, research & innovation, and empowering communities through outreach for socio-economic transformation. In CUK, democracy applies to the staff and students who have a significant role in ensuring a streamlined flow of activities through the Student Governing Council (SGC) and an
Hayawi Hayawi huwa! Siku ya kujua mbivu na mbichi katika maswala ya uongozi wa nchi ya Kenya imekaribia. Hivyo basi, tarehe 22,7/2022 baraza la kutawala la wanafunzi wa chuo kikuu cha Ushirika, (CUK) iliandaa kampeni za amani ili kueneza ujumbe maalum wa umuhimu wa amani kabla na baada ya uchaguzi mkuu kufanyika. Rais wa baraza la wanafunzi wa CUK Bw. Collins pamoja na wanafunzi wenzake katika sherehe ya siku ya Amani chuoni CUK Hafla hii, ilikusudia kuwaelimisha